Magori ni kiongozi asiye na hekima, Mo Dewji umetuletea bomu wanasimba

Mo Dewji amemrithisha kiti cha uenyekiti cha ukurugenzi Simba ndugu Cresencius Magori Magori Toka namfahamu ni mtu hana hekima ya uongozi Bali kukurupuka 1. Magori ndo alimlaumu goalkeeper Camara ati ameuza mechi ya Yanga.Hii ilinishangaza mno kiongozi kutokuwa mwanamichezo na kutambua kuwa kwenye mpira timu inafungwa Kwa kufanya makosa.Haikuwa hekima kusema wazi ati ameuza mechi…

Read More

Tanzania kuandika historia kwa kufanikisha Taifa Stars kufuzu Kombe la Dunia 2026.Play-Off Match ndio Itaamua.

Tanzania ililazimika kutoka nyuma ili kupata pointi moja dhidi ya Congo Brazzaville, na kuweka hai matumaini ya kufuzu kwa Kombe la Dunia 2026. Hata hivyo, sare ya 1-1 ilithibitisha Morocco kufuzu moja kwa moja kutoka Kundi E, na kuiacha Tanzania katika vita ya kuwania nafasi ya pili na hatua ya mtoano. Morocco wanaongoza kundi hilo…

Read More