aznews

NCHI PEKEE ZENYE WASOMI WENGI AFRIKA

Nchi za Afrika Zenye Wasomi Wengi Afrika ina nchi nyingi zinazojulikana kwa utajiri wa kiuchumi, lakini linapokuja suala la wasomi—watu wenye elimu ya juu na mafanikio ya kitaaluma—nchi chache zinaonekana kuongoza kwa sababu za miundombinu ya elimu, fursa za kitaaluma, na mazingira ya kijamii yanayoruhusu maendeleo ya kiakili. Ingawa hakuna takwimu za moja kwa moja…

Read More

MFANO WA KUIGWA KUTOKA KABILA LA WABEMBE

Mfano wa Kuigwa Kutoka Kabila la Wabembe Kulingana na utafiti na historia inayopatikana, “mfano wa kuigwa” (mfano wa kuigwa au kuiga) kutoka kabila la Wabembe unaweza kurejelea mifano ya maadili, utamaduni au maisha ambayo kabila hili linaonyesha na ambayo inaweza kufuatawa na jamii nyingine. Wabembe (pia wanaoitwa Bembe au Babembe) ni kabila la Kibantu lililo…

Read More

Dk Nchimbi aahidi wazawa kushiriki uchimbaji madini, miradi ya maendeleo Kahama

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimewaahidi mambo mbalimbali wananchi wa Kahama, Mkoa wa Shinyanga ikiwemo madini mkakati kuchimbwa na wazawa, uanzishwaji mashamba darasa na ujenzi wa soko kubwa.Chama cha Mapinduzi (CCM) kimewaahidi mambo mbalimbali wananchi wa Kahama, Mkoa wa Shinyanga ikiwemo madini mkakati kuchimbwa na wazawa, uanzishwaji mashamba darasa na ujenzi wa soko kubwa.

Read More

MAKALA FUPI: Kwanini Mwendokasi (BRT) wasiachane na magari ya mafuta au gesi wakachukua city bus za umeme

Lengo kuu la mradi wa Mwendokasi (BRT) ni kurahisisha usafiri kwa wakazi wa Dar es Salaam (na Pwani) kwa gharama nafuu salama. Pamoja na ilo kuu, mengine ni kupunguza msongamano wa magari mjini, kupunguza uchafuzi wa hali ya hewa kwa hewa ya ukaa (carbon emissions) na kutoa ajira kwa Watanzania. Kupunguza gharama za uendeshaji, kwanini…

Read More

Magori ni kiongozi asiye na hekima, Mo Dewji umetuletea bomu wanasimba

Mo Dewji amemrithisha kiti cha uenyekiti cha ukurugenzi Simba ndugu Cresencius Magori Magori Toka namfahamu ni mtu hana hekima ya uongozi Bali kukurupuka 1. Magori ndo alimlaumu goalkeeper Camara ati ameuza mechi ya Yanga.Hii ilinishangaza mno kiongozi kutokuwa mwanamichezo na kutambua kuwa kwenye mpira timu inafungwa Kwa kufanya makosa.Haikuwa hekima kusema wazi ati ameuza mechi…

Read More

Tanzania kuandika historia kwa kufanikisha Taifa Stars kufuzu Kombe la Dunia 2026.Play-Off Match ndio Itaamua.

Tanzania ililazimika kutoka nyuma ili kupata pointi moja dhidi ya Congo Brazzaville, na kuweka hai matumaini ya kufuzu kwa Kombe la Dunia 2026. Hata hivyo, sare ya 1-1 ilithibitisha Morocco kufuzu moja kwa moja kutoka Kundi E, na kuiacha Tanzania katika vita ya kuwania nafasi ya pili na hatua ya mtoano. Morocco wanaongoza kundi hilo…

Read More